Mwenyekiti wa Taasisi ya Maendeleo ya Wanawake (WAMA) Mama Salma Kikwete akisalimiana na Wanachama wa UWT Mkoa wa Mara Sept.12,2010 alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Musoma . Mama Salma Kikwete yupo mkoani hapo kwa ajili ya kukutana na wanachama wa UWT katika mikutano ya ndani kuhusu kuwahamasisha umuhimu wa kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu Ujao mwaka huu.(kulia) Mwenyekiti wa UWT mkoa Mara Nancy Sessani. (Picha na Mwanakombo Jumaa)
Chini;Katibu wa UWT Mara Helena Chacha akimkaribisha Mwenyekiti wa WAMA baada ya kuwasili Mkoani hapo kwa ziara ya kuwahamasisha ushiriki katika uchaguzi.
Mama Salma akifurahia ngoma ya asili wakati alipowasili Musoma 12,9,2010.
No comments:
Post a Comment