Friday, October 8, 2010

Kigoma na Tabora

Mama Kikwete akipatiwa watoto mapacha yatima wa kiume na mama mlezi wa kituo cha kulelea yatima kilichopo kijiji cha Matyazo Kigoma.

Mama Salma Kikwete Oyeeee! wanawake wa kijiji cha Nguruka Kigoma Kusini wakimshangilia Mama Kikwete
 Jamani eee Kigoma neema ! hii ndio faida ya kilimo !wakulima wa kijiji cha Mtalima Kasulu.


 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimnadi Mgombea Ubunge Samuel Sitta.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimnadi mgombea (CCM)jimbo la Kigoma Mjini Peter Serukamba.

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimia katika kijiji cha Mvugwe kiliopo halmashauri ya Kasulu (Kigoma) wakati akielekea Kigoma.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza katika mkutano wa ndani wa kampeni jimbo la Kasulu vijijini

Mama Kikwete akiwahutubia wanawake wa Kaliua (jimbo la Urambo Magharibi)Tabora katika mkutano wa ndani wa kampeni
 Mama Salma Kikwete akimnadi mgombea ubunge jimbo la Urambo Magharibi Prof. Juma Kapuya
 Mama Salma Kikwete akiwahutubia akina mama wa UWT Urambo Mashariki (Tabora)
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea shada la maua alipowasili Jimbo la Urambo Mkoani Tabora

No comments:

Post a Comment